


| 98.0 FM WAPORADIO |
| Simu 285 1 265 Kama uko mikoani 022 285 1 265 |
![]() | Ibada katika vituo vyote viwili, wiki iliyoishia tarehe 03 | |
| Agosti 2008 ilitawaliwa na msisitizo wa nguvu ya sifa kufuatia tamko la Askofu Sylvester Gamanywa kufundisha nini faida ya kusifu na kuabudu. |
![]() | Wakati Queene Nte Mchomvu na Sara Magesa | |
| wakiongoza vipindi vyote viwili vya sifa, asubuhi na jioni, katika ukumbi wa PTA Temeke. Mwenzao Amon Kilahilo akiwa na kikundi kizima cha kusifu na kuabudu waliamua kusifu kikweli kweli huko Mbezi Beach. |
![]() | Waimbaji hawa kama familia ya Asafu ambao maisha | |
| yao yote yalikuwa ni kuongoza katika kumtukuza Mungu, na kwa mkono wa Mungu ulio hodari kuwapiga maadui za wana wa Israel ndivyo walivyokuwa wakifanya viongozi hawa wa sifa katika vituo vyote viwili. |
![]() | Kama anavyoonekana katika picha ya chini | |
| akiomboleza kwa Mungu Queene Mchomvu ili kutoa ishara ya watu wengine kumfuatia, Sara Magesa alikuwa akipokea kwa kuimba nyimbo za sifa baada ya kuona kuwa kipindi cha kuabudu kimetosha. |

| KWA KUTANGAZA HAPA WASILIANA NASI KWA SIMU No. 0754 567389 au TUMA E-MAIL: waporadiofm@w apotz.org |
| Queene Nte Mchomvu Sabasaba Temeke. Kusifu na kuabudu ni njia kuu ya uponyaji. Karibu PTA Hall kila Jumapili... |

| TANGAZA HAPA 0716 179 417 |

![]() | Wiki iliyoishia tarehe 10 | |
| Agost, 08 Queene alikuwa akiimba wimbo wake mwenyewe wa kuabudu ambao ulionekana kufahamika na wengi wa washirika Hakuna Lisilowezekana au BCIC Tawi la Temeke. |
![]() | Sehemu ya wimbo huo | |
| inasema, "Usinipitee, Usinipitee Bwana Unapogusa wengine Bwana Yesu niguse. | ||
![]() | Maisha yangu hayana | |
| mwelekeo bila mguso wa mkono wako... |




![]() | ============================= |