HABARI KWA KIFUPI
Qeene NTE Mchomvu
WAJUE WATANGAZAJI
WAPO RADIO
Wajue watangazaji WAPO RADIO 98.0 MHZ
Copyright© WAPO RADIO
WILSON KIBUGU
NA
KIPINDI CHA PATAPATA
KINACHOANZA
SAA 1.15 HADI SAA 1.45
W
A
P
O

R
A
D
I
O

T
U
M
E
L
E
N
G
A

K
U
K
U
H
A
B
A
R
I
S
H
A
LAURA BONIVENTURE MSAMA
TANGAZA HAPA
TANGAZA
HAPA

HUDUMA
YAKO
TANGAZA HAPA
Shalom! Pre & Primary School: Mwaka jana wamefaulu kwa 100%
Ni mwandishi wa habari,
Mtangazaji,
Mwandaaji na mtayarishaji wa vipindi
Kazi za ziada zinazoshabihiana na kazi
zangu ni pamoja na kuwa:-
Mwalimu wa vijana, Ni mshauri wa
vijana, Master of Ceremony – MC
katika sherehe mbalimbali kama
mikutano, harusi, send-off party,
semina na tamasha. Pia ni mwimbaji
wa nyimbo za injili
wilsonkibugu@wapotz.org
VIPINDI
Kipindi cha ndoa na familia

kinachorushwa hewani kila siku ya
alhamisi saa 4.00-5.30 usiku ni moja
ya vipindi ninachorusha hewani.

Ni reporter wa kipindi cha Patapata
kinachorushwa hewani kila siku saa
1.15 – 1.45 asubuhi

Ni msomaji wa muhtasari wa habari
unaosomwa kila siku saa 10.00-10.06

Ni msomaji wa taarifa ya habari
inayosomwa kila siku saa 1.00-1.06
usiku

Lengo la kipindi cha:-
NDOA NA FAMILIA:
Ni kipindi kinachoelimisha na kutoa
ushauri mbalimbali kuhusu suala la
zima la ndoa na familia

Kutoa fursa kwa wanandoa kushiriki
mazungumzo katika kipindi ili kutoa
maoni pamoja na kushirikishana
uzoefu katika yale ambayo
wanandoa wanakabiliana nayo katika
maisha ya ndoa kwamba ni namna
gani wamefanikiwa kuwa na ndoa
zenye amani na furaha.

Kufanya mijadala na midahalo
mbalimbali ili kuangalia changamoto
mbalimbali zinaozowakabili
wanandoa na jinsi ya kukabiliana
nazo.

Kukaribisha waalimu na wataalamu
mbalimbali wanaoweza kuzungumza
na kufundisha kuhusu mambo
mbalimbali yanayohusu ndoa na
familia

Jamii inavyofaidika na kipindi cha
ndoa na familia:
Wanandoa wanajifunza mambo
mbalimbali yanayosaidia na
kuwawezesha kuwa na ndoa zenye
mafanikio, amani na furaha.

Wanandoa ambao ndoa zao
zinamgogoro wanaposikia hiki wengi
wao wanajifunza mambo ambayo
yanawasaidia kujitambua, kujua ni
wapi wamekosea na warekebishe
wapi ili kuwa na ndoa na familia
zenye amani

Hata wale ambao wamekuwa
wamekata tama kutokana na
maumivu, uchungu na vilio
vinavyosababishwa na mgogoro
ndani ya familia, wanaposikiliza
kipindi hiki wanapokea uponyaji na
faraja kutokana na elimu na
mafundisho yanayofundishwa katika
kipindi hiki.

KIPINDI CHA PATAPATA
Kipindi kinacholenga kuelimisha na
kutoa taarifa ya habari mbalimbali
kuhusu matukio mbalimbali
yanayotokea katika jamii ikiwa ni
pamoja na kuikumbusha jamii na
viongozi wan chi kutambua wajibu
wake katika utekelezaji wa mambo
mbalimbali yanayohusu maendeleo
yao na Taifa kwa ujumla.

FAIDA KWA JAMII
Jamii inapata fursa ya kusikia na
kufahamu taarifa na matukio
mbalimbali yanayoendelea nchini, pia
kinawawezesha jamii kujua wajibu
wao katika mambo mbalimbali
ambayo wanapaswa kutekeleza.

TAARIFA YA HABARI
Kinawezesha jamii kupata habari
ambazo zinawasaidia kufahamu
mambo mambo mbalimbali
yanayoendelea katika jamii nchini na
nje ya nchi.