 | | Patapata, kipindi hiki ni cha matukio ya habari | | | mbalimbali kinachosikika kila siku saa1:15 kinahusisha ripoti za waandishi wakala na mahojiano na wahusika moja kwa moja
|
|
 | | Yaliyotokea - Kipindi hiki ni cha matukio ya habari | | | mbalimbali yanayotokea, kinawapasha Watanzania habari zilizotokea siku nzima, pia kina ripoti za Waandishi kutoka maeneo mbalimbali hapa nchini na nje ya nchi, makala za michezo pamoja na mahojiano ya moja kwa moja na watoa habari kama vile mawaziri, wanasiasa, viongozi wa polisi na wengine.
|
|
 | | Yasemavyo Magazeti: Ni kipindi cha uchambuzi | | | wa habari mbalimbali kwenye magazeti ya kila siku ya Kiswahili ya hapa nchini Tanzania. Kipindi hiki kinasikika kila siku saa 1:45 – 2:30 asubuhi
|
|
 | | Pamoja na kusimamia kitengo cha habari, | | | kuratibu vipindi vya habari na kutangaza vipindi mbalimbali vya habari kama patapata, yaliyotokea, yasemavyo magezeti bila kusahau kipindi cha tufanyeje.
|
|
|