




| Huduma ya Maombezi ya | ||
| Kikuhani ilianza rasmi tarehe 10 May 2008 | ||
| Tupo na wewe muda | ||
| wote, tunakusikiliza... |
| TANGAZA HUDUMA YAKO HAPA PIGA SIMU 0714 116 229 NI USHUHUDA GANI WA MATENDO MAKUU YA MUNGU ULIONAO? ushuhuda@wapotz.org |


| WAJUE WATANGAZAJI WAPO RADIO |
| SOMA GAZETI LA MSEMAKWELI UPATE HABARI KWA KINA KUHUSU BINTI HUYU MTANGAZAJI WA KIPINDI CHA GOSPEL PROMO TIME RITHA WILLIAM CHUWALO... |


| TANGAZA KATIKA NAFASI HII Tupigie 0773 89 7777 au email: waporadiofm@wapotz.org |
| TAARIFA YA HABARI... |

| TANGAZA HUDUMA YAKO HAPA |

| Watanzania wametakiwa kufanya maombezi maalum kwa ajili ya kuwaombea watu wenye ulemavu wa ngozi yaani albino ili waweze kuepukana na janga lililoingia la kuwaua kwa kisingizio cha kupata utajiri miongoni mwa wanajamii wenye imani za kishirikina. Ombi hilo lilitolewa hivi karibuni na Mbunge wa kuteuliwa mwakilishi wa watu wenye ulemavu wa ngozi Mhe Alishamaa Kwegir wakati alipokuwa akizungumza kwenye tamasha la mziki wa injili lililofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Mbunge huyo ambaye pia ni Albino alisema kwa wakati huu watu wenye ulemavu wa ngozi wanaishi kwa wasiwasi na mashaka wakati wote Tena wakiwa hawajiamini kutokana na kuwindwa kila sehemu kwa lengo la kuuwawa na wananchi wenye imani za kishirikina alisema yeye mwenyewe.... |
![]() | Askofu Mgullu | |
| Kilimba wa Kanisa la Christian Mission Fellowship ya Jijini Dar es Salaam amekemea vikali suala la mauaji ya maalbino jambo alilosema kuwa ni ukatili wa ajabu na kuitaka serikali kuandaa mkakati maalumu wa kuweza kukomesha wale wote wenye tabia hiyo... |

| GOSPEL PROMO TIME |
| Tamasha la Shusho lafana |
| DAR ES SALAAM. Halmashauri ya Biashara Ya Nje BET Imeandaa Mafunzo Maalum Kwa Wajasiriamali Yenye Lengo La Kukuza Uchumi. Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi wa Mkuu wa BET, BWANA SAMUEL MVINGIRA wakati akizungumza na waandishi wa Habari Jijini Dar es salaam... |
| Binti huyu ambaye hivi sasa ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam; aliianza kazi ya uimbaji katika kanisa la KKKT Mkoani Mbeya akiwa ni Mwalimu na mtunzi wa nyimbo za injili... |
| Mama Marie Greg, Mke wa Mchungaji Greg Violi kutoka mji wa Salem USA wakati alipokuwa akitambulishwa kwa waumini wa Huduma ya WAPO Mission, Mbezi Beach Dar es Salaam... |
![]() | Lengo ni | |
| kutangaza nyimbo za waimbaji chipukizi, star waliopo sokoni na wale wanaotarajia kuwa sokoni... |
| GOSPEL PROMO TIME |
![]() | Lengo ni kutangaza | |
| nyimbo za waimbaji chipukizi, star waliopo sokoni na wale wanaotarajia kuwa sokoni... |

| Huduma ya hakuna lisilowezekana iliyoko chini ya ASKOFU SYLVESTER GAMANYWA tawi la Temeke, leo imetoa msaada wa fedha kwa wajane na yatima zaidi ya 20, katika ibada maalumu ya Krismas, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa PTA viwanya vya Mwalimu JK Nyerere zamani Sabasaba jijini Dar es salaam. Akikabidhi msaada huo mchungaji MICHAEL MGULU wa huduma hiyo, amewataka wajane hao kutumia fedha hizo kwa ajili ya maendeleo yatakayomtukuza Mungu, ikwemo kuanzisha biashara badala ya kubweteka nazo katika matumizi yasiyo ya lazima. Akizungumzia suala la kuwasaidia wajane na yatima MCHUNGAJI MGULLU amesema, huduma hiyo imeona ni vyema kuwakumbuka ili kutimiza Neno la Mungu kitu ambacho amesema kanisa limejisahau katika kulitimiza kusudi hilo. Kwa upande wa wajane hao wameshukuru kwa msaada huo na kwamba wamejisikia faraja na kusema kuwa ,fedha hizo zitawasaidia katika mitaji ya biashara zao ambazo ndizo zilikuwa ndoto zao za kila siku. Jumla ya shilingi milioni moja na laki mbili zimetolewa, ambapo kila mmoja amepata kiasi cha shilingi elfu 50. Aidha huduma hiyo inampango wa kuwasaidia yatima na wajane walio nje ya huduma hiyo pindi mfuko wa makundi hayo utakapofikia kiwango kizuri... |