HABARI KWA KIFUPI
TANGAZA HAPA
Qeene NTE Mchomvu
WAJUE WATANGAZAJI
WAPO RADIO
Wajue watangazaji WAPO RADIO 98.0 MHZ
Copyright© WAPO RADIO
LAURA BONIVENTURE
MSAMA {LBM}
NA
KIPINDI CHA GOSPEL
CELEBRATION
GOSPEL
CELEBRATION...
Ukizungumzia waimbaji
waliofanikiwa haraka
katika uimbaji wa muziki
wa injili huwezi kumsahau
Miriam Lukindo Mauki.

 Dada huyu wa kizigua,
mwenye sauti ya kipekee,
aliyefanikiwa kupata mtoto
mmoja kwenye ndoa yake,
alifanikiwa kupata
masomo ya awali Jijini
Mbeya katika chuo cha
Kilimo Uyole.

Baada ya hapo, alihamia
mjini Moshi kujiunga na
wazazi wake waliokuwa
wakiishi mkoani
Kilimanjaro.

Aidha baada ya muda
alienda mjini Nairobi
nchini Kenya katika
kujiendeleza kimasomo.

Binti huyu mtanashati,
kama anavyoonekana
kwenye picha, awali
hakujua kama yeye ana
kipaji cha uimbaji,
kutokana na sauti yake
kuwa na mvuto; siku moja
akiwa huko Nairobi, Mama
mmoja alimwambia kuwa
yeye anafaa kuwa
muimbaji.

Hivyo alimshauri kujiunga
na kikundi cha uimbaji
chuoni hapo.

Baada ya muda fulani
kuliandaliwa tamasha la
uimbaji, Miriam pia
alialikwa kwenda kuimba,
na aliombwa aimbe wimbo
wa Taifa la Tanzania.

Aliimba vizuri sana na
watu walivutiwa na sauti
yake kwa kuimba live,
baada ya hapo aliamua
kuingia hasa katika
uimbaji, alianza kutunga
nyimbo na wimbo wake wa
kwanza uliitwa AMEN
AMEN...
LAURA BONIVENTURE MSAMA
W
A
R
A
D
I
O

T
U
M
E
L
E
N
G
A

K
U
K
U
H
A
B
A
R
I
S
H
A
Askofu Sylvester Gamanywa
akiongoza kipindi cha uimbaji wa
pambio na kusema, "Pamoja na
viboko walivyochapwa Paulo
Sila lakini kwa furaha walimsifu
Mungu na milango ya Gereza na
minyororo
ikafunguka...