Copyright© WAPO RADIO
LAURA BONIVENTURE MSAMA {LBM} MTANGAZAJI NA MTAYARISHAJI WA VIPINDI NA MATANGAZO KIPINDI CHA GOSPEL CELEBRATION
|
W A P O
R A D I O
T U M E L E N G A
K U K U H A B A R I S H A
|
TANGAZA HAPA PIGA SIMU 0754 567389
|
Thomas Dexter
Jake ni mzaliwa wa
south Charleston,
west Virginia nchini
Marekani. Alizaliwa
june 9, 1957 katika
ujana wake Jakes
alikuwa akiitwa
Bible Boy...
Kwenye mitaa yote ya west Virginia, hata
hivyo Jakes hutamka ‘th’ badala ya ‘s’[lisp
problem] hivyo watu wengiwalimwambia
hataweza kuhubiri,baada ya baba yake
jakes kufariki kwa matatizo ya figo mwaka
1979
Jakes akiwa na fedha kidogo sana za
kwake pamoja na watu 10 waliomuunga
mkono walianzisha kanisa lililojulikana
kama The Great Emmanuel temple of
faith huko Montgomery, West Virginia.
Jakes alikuwa akifanya kazi ya usafi
katika mitaro ya maji taka ili apate fedha
za kuendesha kanisa lake mpaka hapo
kanisa lilipoweza kusimama lenyewe.
Mwaka 1981 alifunga ndoa na serita ann
Jamison, wamejaliwa kuwa na watoto
watano, jamar, jermaine, cora, sara na
Thomas
Jakes alifanyiwa vipimo vya NDA na
kugundulika kuwa anatokea kwenye jamii
ya watu wa igbo ambayo kwa sasa
inafahamika Nigeria. Uhusiano wake na
Nigeria unatokea kwa bibi yake mzaa
baba ambaye alikuwa raia wa Nigeria.
Jakes amewahi kupata tuzo nyingi kama
Grammy na Dove kwa ubora wa albam
yake ya injili inayoitwa live at the potter’s
house
Hata ivyo jarida la time maarufu kama
time magazine limemtaja jakes kuwa ni
miongoni mwa viongozi kumi bora wa dini
nchini marekani. Pia Jakes anashahada
13 za nidhamu na doctor of philosophy -
PhD...
Na Mtangazaji wako
LAURA B. MSAMA
Loraventura
Email; lerramsama @yahoo.com
==============
Wiki ijayo ni Kirk Franklin muimbaji wa
muziki wa injili nchini marekani
Alizaliwa Fort Worth Texas mwaka 1970.
alitelekezwa na mamayake mzazi na
kulelewa na shangazi yake…………….
kwa habari zaidi ungana nami katika
gospel celebration yaani gc
Jumamosi ijayo
Sara Magesa na Queen Mtomvu, waimbaji wa nyimbo za Injili ambao wanaabudu BCIC Temeke. Wamekuwa wakiimba kwa kupokezana iwe ni kwa kusifu au kwa kuabudu ndani ya ukumbi wa PTA, waimbaji hawa wamekuwa ni vyombo vitakatifu vya Bwana Yesu kwa kazi maalum...
|
Kim Robinson, Askofu T.D. Jakes na Anthea Robinson
|